Wednesday, November 5, 2014

KUTOKA CHADEMA LEO


Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Salum Mwalim akihutubia wakazi wa Mji wa Kyela katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya siasa mjini humo . Naibu yuko katika ziara ya siku sita Mkoani Mbeya kukagua maandalizi ya chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Disemba.

No comments: