Thursday, November 27, 2014

UMESKIA JUU YA ZITTO KABWE KUSHIRIKI KULA HELA ZA ESCROW,SOMA JIBU LA WAKILI WAKE HAPA




Baada ya tuhuma zilizoibuka jioni hii juu ya hela za escrow kuwa hadi mwenyekiti wa PAC ZITTO KABWE KUSHIRIKI KULA HELA ZA ESCROW wakili wake ameibuka na kujibu yafuatayo.tuhuma hizi zimeibuliwa katika kipindi cha kuchangia ambapo mbunge lusinde amemtaja wakili wa zitto bwana msando kama mmoja wa watu waliomchukulia zitto kabwe million kumi za escrow,baada ya tuhuma hizo  wakili msando amesema haya

2 hrs · Msasani ·
1. Sijapokea hela yoyote kutoka kwa IPTL/PAP kumpa Mh. Zitto Kabwe. 2. Ni habari za kuzusha na kupotosha kusema Mh. Zitto alipokea hela. 3. IPTL/PAP wajitokeze na waseme hizo fedha kama walinipa walinipa ili Mh. Zitto afanye nini? Kwa nini walizitoa kama kweli walizitoa? 4. Kwa nini basi hawakuomba nihojiwe kuhusu hizo fedha?
Hoja inabaki; fedha ni za nani? Je tumeibiwa au hatujaibiwa?
LikeLike ·  · 

No comments: