Wednesday, January 28, 2015

BAADA YA ZITTO KABWE KUGOMA KUSOMA TAARIFA YA PAC BUNGENI ATOA SABABU

https://zittokabwe.files.wordpress.com/2012/04/zkwasanii2.jpg



Zitto Kabwe- "Kwanini sikwenda kusoma taarifa ya PAC leo nilipoitwa na Spika? Jibu rahisi kabisa, siwezi kuona madhila na uvunjifu mkubwa wa HAKI za binaadamu nikaendelea na mambo kama hakuna lililotokea. Kitendo cha polisi kutumia nguvu, kupiga raia hovyo na kumdhalilisha Kiongozi wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote".

No comments: