Wednesday, January 28, 2015

MADIWANI WA MANISPAA YA TEMEKE WAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Madiwani wa Manispaa ya Temeke wakikagua miradi mbalimbali ya ujenzi wa maabara ya shule za sekondari na barabara
 Madiwani wa manispaa ya Temeke wamefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo zikiwemo ujenzi wa maabara,  afya na miundombinu ya barabara mbalimbali katika manispaa hiyo ya temeke.

Ziara hiyo ambayo ina lengo la kujiridhisha na utendaji na maendeleo yanayoendelea katika kutekeleza ahadi za serikali imefanyika kwa mafanikio makubwa na kutoa fursa kwa madiwani hao kukagua na kuona wenyewe kasi ya maendeleo katika manispaa yao ya temeke.
Hapa kuna picha kadhaa kuhusi ziara hiyo


No comments: