Mtandao huu umekutana na picha hzi katika mitandao mbalimbali zikienea kwa kasi ambazo waanii kadhaa wa muziki wameshika moja ya kitabu chake na kuandika maneno ya kumtakia kheri katika kupigania nafasi ya urais wa Tanzania.
Mh MAKAMBA ni mmoja ya wanachama wa CCM ambao tayari wameshapigwa stop kujihusisha na mambo ya kampeni hadi hapo watakaporuhusiwa baada ya kuonekana wanaanza mapema sana tofautio na utaratibu wa chama chake
No comments:
Post a Comment