Wednesday, February 25, 2015

MICHEZO24--TIZAMA KOCHA JULIO NDANI YA TIMU YAKE MPYA

 Kocha Msaidizi wa Coastal Union,Jamhuri
Kiwelu "Julio"kulia akisisitiza jambo mazoezini jana mara baada ya
kuwasilia mkoani Tanga kuifundisha timu hiyo kushoto ni Kocha Mkuu
James Nandwa ,Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Coastal Union,Albert
Peter,Katibu Mkuu Coastal Union,Kassim El Siagi na Meneja wa Coastal
Union Akida Machai.

Kocha Msaidizi wa Coastal Union ,Jamhuri
Kiwelu "Julio"akizungumza na viongozi wa Coastal Union mara baada ya
kuwasili mazoezini jana ,Picha kwa Hisani ya Coastal Union




No comments: