Sunday, March 29, 2015

FASTJET WAZINDUA SAFARI MPYA-SASA NI KUTOKA KILIMANJARO HADI MWANZA,NA KILIMANJARO KWENDA ENTEBE UGANDA

Meneja   Mkuu wa Shirika  la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka gazeti la  Jamboleo, Richard Mwangulube aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza nakurudi Kilimanjaro wakati wa uzinduzi wa safari mpya wa shirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda hafla hizo zilifanyika Mkoani Arusha leo


Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Radio 5 Linus Kilembu aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza nakurudi Kilimanjaro wakati wauzinduzi wa safari mpya wa shirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Entebe Uganda hafla hizo zilifanyika Mkoani Arusha .

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wahabari toka gazeti la East African Business Week ,Elisha Mayallah aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza nakurudi Kilimanjaro wakati wauzinduzi uliofanyika  Mkoani Arusha wa safari mpya wa shirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Entebe Uganda.

Meneja Mkuuwa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongean awandishi wahabari Mkoani Arusha leo wakati wauzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kuliani Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masokona kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wahabari toka Tbc Sechelela Kongola aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza nakurudi Kilimanjaro wakati wauzinduzi wa safari mpya washirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda hafla hizo zilifanyika Mkoani Arusha 

No comments: