Friday, March 20, 2015

MKURUGENZI WA TIGO JACKSON KISWAGA ATUMIA ZAIDI YA SH MILIONI 10 KUFANIKISHA LIGI SOKA WILAYA YA IRINGA MAARUFU KAMA KISWAGA CUP

Kamu Meneja Mkuu
wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akikabidi jezi kwa moja ya timu
zinazoshiriki ligi ya wilaya ya Iringa (Kiswaga Cup) anayeshuhudia
kushoto ni mdhamini wa ligi hiyo Jackson Kiswaga ambaye pia ni
Mkurugenzi wa Tigo Nyanda za Juu Kusini



Akikabidhi vifaa hivyo

Kiswaga akieleza sababu za kufadhili ligi hiyo kwa lengo la kukuza sekta ya mchezo wa soka wilayani Iringa

Wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa timu hizo

No comments: