Monday, March 16, 2015

NI HISTORIA--TIZAMA ZITO ALIVYOAGA JIMBO LAKE,HATOGOMBEA TENA JIMBO HILO

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akiwa amebebwa na wananchi wake baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mji Mdogo wa Mwandiga, katika mkutano huo Zitto alikuwa akiwaaga wananchi wake kuwa hatogombea ubunge kupitia jimbo hilo.

No comments: