Monday, April 27, 2015

VIDEO--KIMENUKA TENA--ZITTO YALE YALEE YA KULE,ATUHUMIWA KUPORA CHAMA NA KUJIMILIKISHA MWENYEWE.MSIKILIZE HUYU

Katika hali ambayo sio ya kawaida na ya kushangaza mwenyekiti za zamani wa chama cha ACT TANZANIA ameibuka na kusema kuwa kiongozi mkuu wa chama hicho kwa sasa mh ZITTO kabwe amekipora chama hicho mikononi mwake kinyume na sheria na hastahili hata kuwa kiongozi wa chama hicho.mwenyekiti huyo anadai kuwa kitendo cha ZITTO KABWE kubadili jina la chama hicho pamoja na nembo

MABADILIKO HAYO YANAYOLALAMIKIWA YAKO HIVI-----

Wadau kama mnakumbuka Chama cha ACT-Tz kilibadilisha jina na kuwa ACT wazalendo mabadiliko yaliyofanyika machi 28 kwa kupitishwa na mkutano mkuu wa kwanza

Kamati ya mabadiliko ya katiba ilitoa maelezo juu ya taratibu zilizo tumika kufikia mabadiliko na maboresho ya katiba ya cham ikiwa ni pamoja na ufafanuzi ya juu ya mabadiliko yalifanywa kwenye katiba inayopendekezwa kama ifuatavyo

1 Jina la chama litakuwa ACT-WAZALENDO Badala ya ACT-TANZANIA
2 Herufi T katika neno ACT liwe na nembo ya taifa bendera ya Tanzania
3 Alama ya mkono iashirie uwazi na ukweli
4. Makao makuuu ya chama yawe dareesalaam na ofisi ndoga za makao makuuu ziwe mwanza na Zanzibar
5 Kuwepo na misingi kumi ya  chama ambayo imeanishwa katiba katiba ya chama


No comments: