![]() |
| Wauguzi wa Hosipitali ya Wilaya ya Hai Wakibeba mabango katika siku ya Wauguzi duniani iliyo fanyika hapo jana |
![]() |
| Wauguzi wakifanya maandamano barabarani Hai. |
![]() |
| Mganga Mkuu wa Hosipitali ya Wilaya ya Hai wa kwanza umbele kulia akibebaakifuatiwa na Katibu Tawala Wilaya Bi Zuhura Chikira wakiwasha mshumaa kuelekea wodini kutoa zawadi. |
![]() |
| Katibu Tawala Akichukua matunda na kugawia akina mama wajawazito na walio jifungua. |
![]() |
| Mganga Mkuu wa Hosipitali ya Wilaya ya Hai Paul Chaote akigawa matunda kwa Mtoto aliye lazwa hosipitalini hapo katika siku hiyo ya Wauguzi duniani. |









No comments:
Post a Comment