Saturday, May 30, 2015

TIZAMA ATAKAPOSIMAMA LOWASA LEO KUZUNGUMZA NA WATANZANIA

Kama hujui kinachoendelea ni hivi waziri mkuu wa zamani wa Tanzania mh EDWARD LOWASA leo anatarajia kutangaza nia yake ya kuwania urais wa Tanzania katika viwanja vya sheik Amri Abeid Mkoani arusha,tukio hilo ambalo linatarajia kuweka historia mpya linasemekana kuwa litarushwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania live.Hapa nimekuwekea picha kadhaa za muonekano wa uwanja huo ambao utafanyika shughuli hiyo picha hizi zimepigwa majira ya asubuhi,ntakuwa nakupa kila kinacheendelea katika viwanja hivyo



No comments: