Wednesday, May 27, 2015

TIZAMA HII YA TUNDU LISU NA SALUM MWALIMU HUKO SIMIYU

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Salum Mwalim akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni mjini Magu, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya chama kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kujiandaa kupiga kura uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.


Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Halmashauri, mjini Bariadi, mkoani Simiyu hivi karibuni alipokuwa mkoani humo kwa ajili yakuzindua mpango maalum uitwao 'Changia Chadema Kanda ya Serengeti ili Kushinda Uchaguzi 2015' unaolenga kukusanya fedha kampeni za wagombea wa ubunge na udiwani mikoa ya Simiyu, Shinyanga na Mara.

No comments: