Monday, June 29, 2015

TIZAMA NYALANDU NA LOWASA WALIVYOHITIMISHA ZIARA ZAO ZA KUUSAKA URAIS LEO

l1
Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Kulwa Milonge, akionyesha fomu zenye orodha ya majina ya wanachama wa ccm,104,03  waliomdhamini kugombea urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa(kulia).
l2
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Kanali Mstaafu, Isaac Mwasongo, akisindikiza na Mwanasiasa Mkongwe, Steven Mashishanga(kushoto) baada ya kuzngumza katika mkutano wa Waziri Mkuu wa zamani,Edward Lowassa, wa  Mkoa wa mwisho wa kupokea majina ya wadhamini kugombea urais
l3l4l6
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Morogoro jana wakati wa akitoa shukrani katika kuhitimisha Mkoa wa mwisho wa kupokea orodha ya majina ya wadhamini wa kugombea urais
ny1
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na mkewe Faraja, wakiwa wamezungukwa na umati mkubwa wa watu wakati alipokwenda kuomba udhamini kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Ilongero, Jimbo la Singida Kaskazini mkoani Singida, jana. Katika tukio hilo maelfu ya wananchi walijitokeza kutaka kumdhamini katika harakati zake za kuwania kuteuliwa na CCM kuwania urais. Nyalandu ambaye pia ni mbunge wa jimbo hilo, lakini aliwataka radhi na kuomba kudhaminiwa na wanachama 45 tu kama matakwa ya CCM yanavyoelekeza.

ny2
KATIBU wa CCM Wilaya ya Singida, Mwamvua Kilo, akizungumza wakati akimkaribisha Nyalandu kuzungumza na maelfu ya wananchi.
ny3
Nyalandu akizungumza na wananchi
ny4
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.
ny5
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.
ny6
WANACHAMA wa CCM wakiimba nyimbo wakati Nyalandu alipokuwa akiingia kwenye viwanja vya Ilongero kuomba udhamini
ny7ny8
VIONGOZI wa dini mkoani Singida, wakimpa Nyalandu mkono wa pongezi baada ya kutoa hotuba iliyokonga nyoyo za wananchi wakati alipokamilisha kazi ya kuomba udhamini. Mgombea huyo amepata wadhamini katika mikoa yote nchini.
ny10
UMATI ukimsikiliza Nyalandu

No comments: