Monday, July 27, 2015

Kampuni ya Tigo yazindua minara Mkoani Geita

Wakazi wa Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe Mkoani Geita,wakimsikilza Mkuu wa Mkoa huo Fatma Mwassa,wakati wa uzinduzi wa mnara mpya wa mtandao wa Tigo.

Meneja Masoko wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Mashauri (kushoto) akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa,alipofika kuzindua mnara mpya katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa,akiongozana na wananchi kuondoka baada ya kuzindua mnara wa Tigo katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa(aliyevaa suti)akikata utepe kuzindua mnara mpya wa mtandao wa Tigo katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe Mkoani Geita.

No comments: