Monday, July 27, 2015

MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA YAIPIGA JEKI MANISPAA YA ILALA

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi akipokea
Madebe maalum la kuhifadhia takataka,Katika ni Mkurungenzi wa
Usalama wa Chakula Kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Raymond
Wigeng iliyofanyika katika eneo la wazi la Posta ya zamani leo Jiji Dar es Salaam.

 Mkurungenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi akitoa shukrani kwa
uongozi mzima wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kwa kupokea msaada wa madebe ya kuhifadhia takataka ili zisizagae hovyo msaada huo umetolewa katika eneo la wazi Posta ya zamani
leo Jiji Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhulia katika kikao hicho Kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) iliyofanyika katika eneo la wazi Posta ya zamani leo Jiji Dar es Salaam. 

Picha na Emmanuel Massaka WA MICHUZI BLOG 

No comments: