![]() |
Meneje Mkuu wa shirika la ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto) akimkabidhi muhudumu wa ndege hiyo Geofrey Brian (kulia) cheti cha kuhitimu mafunzo ya uhudumu wa ndege. |
![]() |
Baadhi ya wahudumu wa ndege ya Fastjet waliohitimu mafunzo yao kwenye picha ya pamoja. |
![]() |
Meneje Mkuu wa shirika la ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto) akimkabidhi muhudumu wa ndege hiyo, Khadija Saleh Kasim (kulia) cheti cha kuhitimu mafunzo ya uhudumu wa ndege.
|