Thursday, September 10, 2015

MAONYESHO YA BIDHAA ZA CHINA (China African showcase 2015) YAFUNGULIWA DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa  akifafanua jambo kwa waandishi wa habari  kwenye  kufungua maonyesho ya biadhaa za China 2015,  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya  bidhaa za China 2015  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa  akitembea maonyesho ya biadhaa za China 2015, mara baada ya kufungua maonyesho hayo  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam 


 Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.

No comments: