Friday, September 11, 2015

Picha 17--Tinga Tinga MAGUFULI Aitikisa Musoma mjini

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo ambapo aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.
 Umati wa wakazi wa Musoma mjini wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli ambaye aliahidi kutatua kero ya Maji,Bara bara, Elimu na huduma za Afya.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini ambao leo walifurika kuliko kawaida kwenye uwanja wa Mkendo.

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Ndugu Christopher Sanya akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli 
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaji Abdallah Bulembo akihutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma mjini kwa tiketi ya CCM Ndugu Vedastus Mathayo akihutubia kwenye mkutano wa kampeni ambao pia ulihutubiwa na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akiwaelezea wakazi wa Musoma mjini uamuzi sahihi uliofanywa na CCM kumteua Mgombea wa Urais Dk. John Pombe Magufuli na kuwataka wananchi hao kumpa kura za ndio.
 Waziri Mkuu Mstaafu akihutubia wakazi wa Musoma mjini wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Naibu Waziri wa  Fedha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba akihutubia wakazi wa mji wa Musoma kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Wananchi wakifurahia hotuba za viongozi.
 Waziri wa Kilimo na Chakula na Ushirika ambaye pia ni Mgombea Ubunge jimbo la Bunda mjini Stephen Wasira akihutubia wakazi wa Musoma mjini.
 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Makongoro Nyerere akihutubia mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi Dk. John Pombe Magufuli.
 Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki Mhe. Shyrose Bhanji akifuatilia mkutano wa kampeni za Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulipamoja na Mhe.Mwigulu Nchemba.
 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Makongoro Nyerere akihutubia mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi Dk. John Pombe Magufuli.
Khadija Kopa akiwaongoza wasanii wa TOT kuburudisha kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika uwanja wa Mkendo ,Musoma mjini 

No comments: