Friday, October 2, 2015

Dkt . Gharib Bilal atembelea Banda la Fastjet maonesho Swahili International Tourism Expo (S!TE)

Utambulisho
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.
IMG_2137
bilal,kbati, lucy
Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal wakati uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana. Pembeni ni Afisa Mawasiliano na Masoko wa Fastjet Lucy Mbogoro.
kukaribisha
kubadilishana mawazo1
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akibadilishana mawazo na Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.
chacha
Wafanyakazi wa Shirika la ndege la Fastjet wakiwa kwenye pozi.
utepe
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana

No comments: