Thursday, October 29, 2015

KAMPUNI YA SWALA ENERGY YAFANYA TAFRIJA NA WADAU BAADA YA MKUTANO MKUU WA MWAKA AGM

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Swala Energy Ltd, David Ridge akizungumza na Wadau wa Swala wakati wa tafrija mchapalo(cocktail) iliyofanyika jijini Dar Es Salaam mwishoni mwa wiki, Tafrija hiyo ilifanyika baada ya mkutano mkuu wa mwaka wa kampuni hiyo AGM.

Katibu wa kampuni ya Swala Energy Ltd, Yohana Mganga (katikati) akiongea na meneja uendeshaji wa Swala Frank Whitehead(kushoto) na Meneja miradi mipya Neil Taylor wakati wa tafrija mchapalo(cocktail).

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Swala Energy Ltd, David Ridge akiongea na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali.

Mkurugenzi wa Frontline Porter Novelli, Irene Kiwia (katikati) akifuatilia jambo, kulia ni mke wa David Ridge na kushoto Mkurugenzi wa Maendeleo na  Biashara wa Frontline, Hellen Kiwia.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Swala Energy Ltd, David Ridge akizungumza na wadau.Meneja

 miradi mipya Kampuni ya Swala, Neil Taylor akibadilisha mawazo na Mwanahisa wa Swala Harold Temu.

No comments: