Sunday, October 25, 2015

Matokeo ya Urais kutangazwa ukumbi wa Julius Nyerere International Convention centre kwa awamu tatu leo

 Maandalizi yakiendelea ukumbini hapo
Jinsi screen za TV zitavyokuwa zikitoa matokeo rasmi

Macho na masikio sasa yanaangazia ukumbi wa Julius Nyerere International Convention centre  ambako  kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani ndipo  matokeo ya Rais awamu ya kwanza yataanza kutangazwa leo  Jumatatu saa 4 asubuhi, saa 7 mchana na saa 10 jioni.

No comments: