Sunday, December 6, 2015

BIA YA HEINEKEN ILIVYOWAKONGA NYOYO WATEJA WAKE KATIKA TAMASHA LA NYAMACHOMA FESTIVAL MWISHONI KWA WIKI

Meneja wa Kinywaji cha HEINEKEN Nchini Tanzania Bwana MICHAEL MBUNGU akizungumza na wanahabari Jijini Dar es salaam katika viwanja vya Leader wakati wa tamasha kubwa na maarufu la NYAMA CHOMA FESTIVAL lililofanyika mwishoni mwa wiki hii ambapo HEINEKEN ni moja kati ya wadhamini wakuu wa tamasha hilo.
Akizngumza na wanahabari siku hiyo meneja huyo alisema kuwa kinywaji cha Heineken Kimejipanga kuendelea kutoa udhamini katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo secta ya michezo na burudani ambapo alisema kuwa ni lengo lao kuendelea na udhamini wa mambo mbalimbali nchini
Wadau mbalimbali kutoka Heineken wakitoa maelezo yao na furaha waliyonayo kwa bia hiyo kuendelea kuwajali wateja wake hasa katika tamasha hilo la nyama choma 

Burudani Ikaanza kutoka HEINEKEN 

Mteja wa HEINEKEN akifurahia kinywaji chake katika Tamasha la NYAMA CHOMA FESTIVAL lililofanyika Katika viwanja vya Leaders Jijini Dar es salaam jumamosi.ENDELEA KUFURAHIA PICHA ZAIDI KUTOKA KWENYE TAMASHA HILO.








No comments: