Friday, February 26, 2016

Habari24 Blog yapaa kimataifa--HEINEKEN waonyesha kuguswa nayo

Meneja Mkuu wa Bia ya HEINENEKEN Tanzania Michael Mbungu (kulia) akimkabidhi mkurugenzi na mmiliki wa mtandao wa habari24 blog EXAUD MTEI maarufu kama Msaka Habari moja kati ya zawadi nyingi ikiwa ni shukrunani ya ushirikiano wa makampuni hayo mawili kibiashara kwa mwaka jana,katika hafla ambayo iliandaliwa maalum kwa ajili ya kushukuru na kufungua mwaka mpya wa kibiashara zaidi kwa makampuni hayo mawili

No comments: