Wednesday, March 30, 2016

IZZO BIZNESS APAGAWISHA WAKAZI WA MBEYA KWENYE TAMASHA LA PASAKA

Msanii Emmanuel Simwinga maarufu “ Izzo Bizness “ akitumbuiza
kwenye tamasha la pasaka la home sweet home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya
jumapili iliyopita.
 Izzo Bizness  akishow love kwa mashabiki zake tamasha la pasaka la home Sweet Home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya
jumapili iliyopita
Mamia ya mashabiki wakifurahia burudani toka kwa Izzo  Bizness
Yani ilikuwa shangwe wakati Izzo Bizness akitumbuiza jukwaani kwenye  tamasha la pasaka la home sweet home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya jumapili iliyopita

No comments: