Friday, March 4, 2016

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Azinduzi wa Tawi la Bank Of Africa Mlandege Zanzibar

Tawi Jipya la Bank Of Africa lililofunguliwa na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee likiwa Tawi la 22 Bank Of Afrika Nchini Tanzania, linalotowa huduma za Kibenki.
Wajumbe wa Bank Of Africa wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Nchini Tanzania Bwa. Ammish Owusu-Amoah, katikati wakizungumza wakimsubiri Mgeni rasmin Waziri wa Fedha Zanzibar.
Mwenyekiti wa Bodi ya Bank Of Africa Tanzania Balozi Mwanaidi Maajar akisalimiana na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee alipowasili katika viwanja vya Bank hiyo hapo mlandege kwa ajili ya Uzinduzi wa Bank hiyo.
Waziri wa Fedha Zanzibar akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa alipowasili katika eneo hilo. akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya BOA, Balozi Mwanaidi Maajar. 
Afisa Bank Of Africa Kaishe Godwin, akitowa maelezo wakati wa Uzinduzi wa Bank hiyo ilioko Mtaa wa Mlandege Zanzibar, wakati hafla hiyo.   
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee na Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa wakimsikiliza Afisa wa BOA akitowa maelezo katika hafla hiyo.


Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Bwa. Ammish Owusu-Amoah, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya Uzinduzi wa Bank uliofanywa na Waziri wa Fedha Zanzibar kwa ajili ya kutowa huduma kwa Wananchi wa Zanzibar.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank Of Africa Balozi Mwanaidi Maajar akitowa maelezo kuhusiana na maendeleo ya BOA katika jitihada zake kutowa huduma kwa wateja na kusema  Tawi hili ni la 22 kwa Bank Of Africa Nchini Tanzania. kutowa huduma kwa Wananchi wa aina mbalimbali.
Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa wakifuatilia hafla hiyo ya Uzinduzi wa Bank hiyo Tawi la Zanzibar katika eneo la Mlandege.
uzinduzi huo umefanyika katika eneo la Bank hiyo Mlandege Zanzibar. Na kuwataka Wafanyakazi na Uongozi wa BOA kutowa huduma bora na kuwafikia Wananchi wa Vijijini katika kutowa huduma zao.  
Wageni Waalikwa na Wananchi wakihudhuria hafla hiyo.
Maofisa wa Bank Of Africa wakifuatilia uzinduzi wa Bank yake Zanzibar uliofanywa na Waziri wa Fedha Mhe Omar Yussuf Mzee.
Waalikwa Wakifuatilia uzinduzi wa Banki hiyo katika mtaa wa mlandege Zanzibar, wakimsikiliza Waziri wa Fedha.
Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Waziri wa Fedha Zanzibar wakati wa Uzinduzi wa Bank Of Africa Zanzibar. 


Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf mwenye mkasi akijiandaa kukata utepe kuashiria kulizindua Tawi la Bank Of Africa Zanzibar lilioko katika barabara ya Mlandege.kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Balozi Mwanaidi Maajar. 
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank Of Africa wakishiriki katika kukata utepe kulizindua rasmin Tawi la Bank Of Africa Zanzibar, uzinduzi huo umefanyika Zanzibar. 
Wageni Waalikwa na Wajumbe wa Bodi na Maofisa wa Bank Of Africa wakishangilia Uzinduzi huo wa Tawi lao la Banki Zanzibar.
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akimsikiliza Menaja wa Bank Of Africa Tawi la Zanzibar Juma Burhan, baada ya kulizindua Tawi hilo Katikati Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Bwa, Ammish Owusu-Amoah. 
Meneja wa Bank Of Africa Tawi la Zanzibar Ndg Juma Burhan akitowa maelezo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank Of Africa Balozi Mwanaidi Maajar. na Wajumbe wa Bodi hiyo wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi.






Wananchi wakipata vitafuwa katika tafrija hiyo. ya hafla ya Uzinduzi wa Tawi la Bank Of Africa Zanzibar.
Kikundi cha Taarab cha Tausi kikitowa Burudani wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa Bank Of Africa wakiongozwa na Mkongwe wa Muziki wa Taraab Zanzibar Mohammed Elys.
Mshauri wa Masuala yac Kibenki Mr Micheal Alcorn, akizungumza na na kubadilisha mawazo na Mfanyabiasha wa Zanzibar wakati wa hafla hiyo.
Meneja wa Bank Of Africa Ndg Juma Burhan akizungumza na Wateja wa Bank hiyo wakati wa tafrija hiyo ilioandaliwa wakati wa haflaWaziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Azinduzi wa Tawi la Bank Of Africa Mlandege Zanzibar. ya uzinduzi.
Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa wakibadilisha mawazo wakati wa tafrija ya uzinduzi iliofanyika katika jengo la bank hiyo mlandege Zanzibar. 
Waalikwa wakipata msosi wakati wa uzinduzi huo wa Tawi la Bank Of Africa Zanzibar.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot.com
Zanzinews.com 

No comments: