Monday, May 30, 2016

KUTOKA MWANANCHI-PICHA INAYOONGEA

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (kulia) akimlalamikia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu ), Jenista Mhagama (kushoto) baada ya Bunge kusitishwa leo asubuhi kutokana na kutokea kwa vurugu ambapo wabunge walikuwa wakitaka bunge hilo lijadili swala la kurudishwa nyumbani kwa wanafunzi zaidi ya 7000 wa Chuo Kikuu cha Dodoma. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments: