Wednesday, June 1, 2016

TOUR 2016 MALAWI

city in malawi copy

Wakati siku za kuanza msimu mpya wa ligi kuu ya soka Tanzania bara zikiendelea  kuhesabika  kufuatia  hitimisho la msimu jana mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu  na   Yanga kuibuka mabingwa, ratiba ya mwanzo ya michezo ya kirafiki ambayo kikosi cha Mbeya City Fc  kitacheza kwa ajili ya matayarisho ya 2016/17 imetoka.
Kwenye ratiba hiyo, City  imepaga kucheza michezo mitatu ugenini, ambapo itaanza kwa kushuka ‘dimbani’ Kamuzu Stadium jijini Blantyre Juni 18  kucheza na vigogo wa soka nchini Malawi, Big Bullets.
KUPATA SAUTI  NA KUJUA ZAIDI KUHUSU  RATIBA KAMILI YA MICHEZO YA KIRAFIKI 2016
FUNGUA  LINK HII:  http://mbeyacityfc.com/tours/

AdTech Ad

No comments: