Saturday, June 18, 2016

Video-Mpaka sasa Rais magufuli ametaja neno Katiba Mpya mara mbili tu-Kauli ya DEUS KIBAMBA ipo hapa

Mwenyekiti wa Jukwaa la katiba nchini Tanzania DEUS KIBAMBA amesema kuwa mpaka sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR J.P MAGUFULI amelitaja neno  KATIBA MPYA mara mbili tu jambo ambalo linaleta shaka kama serikali yake ina nia ya kufufua mchakato huo ambao uliachwa kiporo na Serikali ya awamu ya nne.

Bwana KIBAMBA aliyasema hayo mwishoni mwa wiki hii wakati akizungumza na wanahabari ofisini kwake juu ya harakati ambazo wamezianza tena wao kama JUKATA katika kudai katiba mpya nchini.

IPO VIDEO HAPA UNAWEZA KUTIZAMA

No comments: