Sunday, July 31, 2016

JAMES LEMBELI NJIA NYEUPEE KURUDI CCM,MAGUFULI AMKARIBISHA

indexMhe Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa CCM  na Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli akiwa meshikana mikono na Mhe Lembeli  huku akiongozana naye , Lembeli Amesema yuko tayari kurudi CCM wakati wowote   akihitajika kurudi ili kumasidia Rais “Nilitoka CCM kwa sababu Ruswa ilitamalaki” Lembeli amezungumza hayo  mchana wa leo katika mkutano mkubwa wa  hadhara huko mjini Kahama.
Rais Dk. John Pombe Magufuli akizungumza katika mkutano huo  amemwambia Lembeli “Rudi kundini kadiri utakavyoguswa ili tuijenge nchi kwa sababu huko uliko huwezi kujenga nchi.

No comments: