Sunday, July 31, 2016

MBOWE ALIVYOJISALIMISHA POLISI LEO

index
Mwenyekiti wa Chama Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongozana na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu, Edward Lowassa, John  Mnyika, Mkiti wa Baraza la Wazee Hashimu Issa Juma na  Mwanasheria Mkuu wa Chama Tundu Lissu, wakiwasili  Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ambapo Mwenyekiti Mbowe ameitikia wito wa jeshi hilo kupitia wa ZCO Wambura wa kumhitaji afike hapo leo.
12472494_1656089934709103_3034388568427549281_n
13907088_1656090014709095_2493182602921163246_n

No comments: