Saturday, September 17, 2016

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAPOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI DODOMA IJUMAA HII

Belle9 akiwapagawisha maelfu ya mashabiki wa muziki waliojitokeza katika viwanja vya jamhuri katika tamasha la Tigo Fiesta 

Jux na Benpol wakiimba wimbo wa pamoja wa NAKUCHANA katika jukwaa la Tigo Fiesta katika viwanja vya Jamhuri mwishoni wa wiki hii.

Baadhi ya wabunge  wabunge la Tanzania wakiwa  wanacheza muziki na msanii Ben Pol kwenyeTamasha la Tigo Fiesta lililofanyika  uwanja  wa   Jamhuri   Dodoma usiku wa  kuamkia    jana.

Wasanii   Bushoke   na Maua Sama   wakifanya shoo
ya   pamoja    kwenye   tamasha la Tigo Fiesta usiku  wa kuamkia jana  uwanja  wa   Jamhuri Dodoma

Christian Bella akitumbuiza mashabiki wa burudani waliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki hii mkoani Dodoma.

Maua Sama na Nandi wakiimba kwa pamoja katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jana katika viwanja vya Jamuhuri Mkoani Dodoma

Vanessa na Mcheza shoo wake wakiburudisha maelfu ya wakazi w.a Dodoma waliofika viwanja vya Jamhuri kwenye Tamasha la Tigo Fiesta

Wabunge wakilisakata Rhumba wakiongozwa  na Msanii Benpol

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson , akifuatilia kwa makini  burudani inayotolewa na wasaniii waliopamba jukwaa la Tigo Fiesta  akiwa pamoja na Waziri Habari Utamaduni Sanaa na Michezo,  Nape Nnauye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Yusuph Makamba ) usiku wa kuamkia jana 

Joh Makini na Niki wa Pilli toka Weusi wakilivamia jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jana katika Tamasha la Tigo Fiesta 

No comments: