Saturday, March 18, 2017

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea kampuni ya simu za mkononi Tigo.

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania wakiwasili kwenye ofisi za Tigo Jijini Dar Es salaam leo

Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama leo.

Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama leo.

  Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya  bunge ya Miundo mbinu, Prof. Norman Sigalla  akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez na mjumbe wa kamati hiyo.

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akifafanua jambo  kwa  wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka akiongea na wafanyakazi wa Tigo


Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Ufundi Tigo,Jerome Albou, akifafanua jambo kwa wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge la Tanzania walipotembelea ofisi za Tigo leo  

. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka akiongea na wafanyakazi wa Tigo

 Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

No comments: