Saturday, March 18, 2017

SHULE ZA TUSIIME ZAGUSWA NA INTER SCHOOL DEBATE COMPETATION,WANAFUNZI NAO WAJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI.


Meneja Msaidizi wa Shule za Tusiime Bwana Laurent Gama akimkabidhi zawadi mmoja wa wanafunzi waliokuwa washindi katika mashindano ya Inter school Competetion Yaliyokutanisha shule nne za Jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kuwapambanisha wanafunzi wa shule hizo kutoa hoja na kutetea hoja zao .

Michuano ambayo inadhaminiwa na kituo cha Channel ten Pamoja na wadau wengine mbalimbali,Inter school Competetion imetajwa kama moja ya mashindao ambayo yana msaada mkubwa katika kuwajenga wanafunzi wa secondary kutumia Lugha na kupanga hoja zao jambo ambali litawasaidia baada ya kumaliza masomo yao.

Meneja Msaidizi wa Shule za Tusiime Bwana Laurent Gama akimkabishi kitita cha shilingi million Moja Mwanzilishi wa mashindano hayo ambaye pia ni mwakilishi wa kituo cha Chanel Ten Bwana Shukuru Ngongoje Ikiwa ni baada ya Shule za Tuusiime kutangaza kuunga mkono Juhudi za Kuwakutanisha wanafunzi mbalimbali wa Shule za Tanzania katika kupambana katika mashindano ya Debate.

Wanafunzi mbalimbali kutoka shyule nne za Dar es salaam zilizoshindanishwa leo zikiwemo,Feza,Jitegemee,Tusiime,pamoja na Kibasila Secondary ambapo washindi mbalimbali wamejinyakulia zawadi katika mashindano hayo
John Kishefu ambaye ni mwalimu mwandamizi wa Taaluma Tusiime akiwapa maneno wanafunzi ambao wamehudhuria katia mashindano hayo.
Meneja Msaidizi wa Shule za Tusiime Bwana Laurent Gama akizungumza.





No comments: