Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia leo saa
nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia
leo asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo.
Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa kusafiri kutoka Songea kwe
No comments:
Post a Comment