Tuesday, May 30, 2017

NI KUFURU-Ivan Don Azikwa na Mamilion ya Pesa Kaburini Kwake....Picha











KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya maiti kuwekwa....!! Ni balaaaaa..... RIP IVAN DON ila ingekuwa hapa bongo ingebidi hlo kaburi lilindwe hata miez mitatu mpaka hzo pesa ziharibike kwa joto maana la sivyo watu wangemfukuaje!..yaan asubh mwil ungekutwa pembeni..pesa ilivyongumu jamani



HABARI NJEMA --SASA UNAWEZA KUPAKUA APPLICATION YA HABARI24 BLOG KWENYE SIMU YAKO KUPITIA GOOGLE PLAY ILI IWEZA KUPATA HABARI ZETU KIURAHISI ZAIDI KWENYE SIMU YAKO POPOTE ULIPO,INGIA MOJA KWA MOJA GOOGLE PLAY ANDIKA habari24 blog au Fwata link hii hapa https://play.google.com/store/apps/details?id=com.habari24blog   --ASANTEN SANA NA TUNAHITAJI KUUNGWA MKONO

No comments: