Monday, June 19, 2017

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUZINDUA VIWANDA VITANO PWANI

Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kuanza kesho tarehe 20. Ziara hiyo itakayodumu kwa muda wa siku 3 itakuwa sambamba na uzinduzi wa viwanda vitano uko pwani.



No comments: