Saturday, July 8, 2017

Kampeni ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi yatikisa maonesho ya biashara ya 41 sabasaba leo

Meneja wa Huduma za  Biashara Tigo, Suleiman Bushagama akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya Jaza Ujazwe ujaziwe zaidi ya kila wiki ambapo mshindi, Alishady Kihongo Msaji toka Arusha alijishindia simu aina ya Samsung S8. Pichani  kushoto ni Msimamizi wa michezo ya kubahatisha Tanzania, Abdallah Hemed na Balozi wa Tigo Jaza ujazwe ujaziwe zaidi Lucas Mhavile JOTI .

Balozi wa Tigo Jaza ujazwe Ujaziwe zaidi JOTI akiwa na mteja wa Tigo, Jane Mushi wa salasala  Dar wakati wa kampeni za klia wiki za Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi kwenye banda la Tigo Sabasaba leo. Kampeni ambazo washindi ujipatia simu aina ya samsung S8, muda wa maongezi na intaneti ya bure mwaka mzima

Balozi wa Tigo Jaza ujazwe Ujaziwe zaidi JOTI akisherehesha umati wa wakazi wa jiji la Dar es salaam waliojaa katika banda la tigo

Meneja wa Huduma za  Biashara Tigo, Suleiman Bushagama akichezesha droo ya Jaza Ujazwe ujaziwe zaidi ya kila wiki ambapo mshindi, Alishady Kihongo Msaji toka Arusha alijishindia simu aina ya Samsung S8. Pichani  kushoto ni Msimamizi wa michezo ya kubahatisha Tanzania, Abdallah Hemed na Balozi wa Tigo Jaza ujazwe ujaziwe zaidi Lucas Mhavile JOTI 


JOTI akifanya yake kwenye kampeni ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi

No comments: