Friday, October 6, 2017

MAHAKAMA YAMUACHIA HURU MANJI KESI YA DAWA ZA KULEVYA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemwachia huru mfanyabiashara, Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa inamkabili.

Hakimu Mfawidhi, Cyprian Mkeha amesema upande wa mashitaka ameshindwa kuthibitisha mashitaka hayo dhidi yake.

No comments: