Tuesday, July 12, 2022

MTENDAJI MKUU BRELA AKABIDHI VYETI VYA USAJILI KWA WAFANYABIASHARA SABASABA

 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usajili wa Majina ya Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Godfrey Nyaisa kulia na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) Bi. Latifa Khamis wakimkabidhi Cheti cha Usajili wa Jina la Biashara Bw.Hussein Mustaali Lukmanjee jana kwenye maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa MtendajiMkuu wa Mamlaka ya Usajili wa Majina ya Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Godfrey Nyaisa akimkabidhi Cheti cha Usajili wa Jina la Biashara Bi. Mariam Kihelelo jana kwenye maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usajili wa Majina ya Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Godfrey Nyaisa akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo kwenye maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usajili wa Majina ya Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Godfrey Nyaisa akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo kwenye maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

No comments: