Sunday, June 2, 2013

kali ya leo MAMA MANGWEA AANGUKA GHAFLA ALAZWA NI BAADA YA MWILI WA MWANAE KUSHINDWA KUWASILI LEO





Denisia Mangwea[63] leo asubuhi ameanguka ghafla baada ya kupoeka taarifa kwamba mwili wa mtoto wake Albeth umeshindwa kuwasili nchini ukitokea Afrika ya kusini.Mtandao huu leo mchana ulipokea taarifa z a tukio hilo  ambapo  ambapo dada mkubwa wa Albeth Bi Magreth Mangwea alipoulizwa alithibitisha mama yake kuanguka ghafla baada ya kusikia mwili wa mpendwa mtoto wake umeshindwa kuwasili  nchini.
" Ni kweli leo asubuhi mama alipoamka tu kauli mwili wa mwanae umeshafika Dar es salaam alipoambia bado haijasika aliangua kwa presha na kwa sasa amelazwa hospita ya mkoa wa Morogoro akiendelea na matibabu mchna huu nimetoka huko amezinduka na anaendela vizuri kwa sasa na kwamba muda wowote anaweza kutolewa hospital"alisema Bi Magreth huku akiangua kilio.Mwandishi wa habari hizi alifika katika hospital hiyo na kukuta mama huyo mtaratibu akijianda kupewa ruhusa ya kurejea nyumbani 



No comments: