Wednesday, June 19, 2013

TANZANIA YAULA,YASAINI MAKUBALIANO YA KUJENGEWA ACADEMY YA MPIRA NA SUNDERLAND YA UINGEREZA

RAISI KIKWETE WA TANZANIA ALIPOTEMBELEA ACADEMY YA CLUB YA SUNDERLAND

         Katika taarifa iliyotolewa leo dar es salaam na waziri wa michezo inasema kuwa raisi kikwete alipokuwa nchini uingereza alipata nafasi ya kutembelea academy ya michezo ya clab ya ligi kuu ya  england sundeland na kuahidiwa mambo makubwa.

             waziri mukangara amesema raisi kikwete ameahidiwa kujengewa academy ya kisasa ya michezo ya mpira miguu na kampuni ya symbion power ambayo itashirikiana na clab ya sundelend

            amesema tunategemea accademy hiyo itasaidia club zetu kupata wachezaji walio bora na walioandaliwa  kuwa wachezaji wa kimataifa na hivyo kuboresha timu ya taifa 

                kutokana na umuhimu wa suala hilo viongozi wakuu  wa symbion wanatarajiwa kuja hapa nchini na watakutana na waziri fenela mukangala kwa ajili ya makubaliano ya mpango huo


No comments: