Wednesday, June 25, 2014

BREAKING NEWZZ--KINACHOENDELEA KATIKA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CUF-PICHA NNE MUHIMU ZIPO HAPA

 Chama cha wananchi CUF muda huu kinanfanya uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama chao ambapo wagombea mbalimbali wamejitokeza kugombea nafasi hizo.

Katika nafasi ya uenyekiti wa chama hicho taifa wagombea watatu wamejitokeza kugombea nafasi hiyo ambao kwa majina ni aliyekuwa mwenyekiti wake pr LIPUMBA,MH CHIEF LUTAYOSA YEMBA,pamoja na mh MBEZI ADAM BALARI,huku nafasi ya makamu mwenyekiti na katibu wakijitokeza wagombea mmoja mmoja ambao ni katika umakamu wa mwenyekiti amejitokeza mh JUM,A DUNI HAJI,na katika nafasi ya katibu mkuu wa chama hicho amejitokeza mh SEIF SHARIF HAMAD ambaye alikuwa ameshikilia nafasi hiyo.

Matokeo ya uchaguzi huu yatakujia baadae hapa hapa katika mtandao wenu
Wagombea wa uenyekiti wa chama hicho PROFESA IBRAHIMU LIPUMBA akiwa  anajadili jambo na mgombea mwezake kabla ya wajumbe kuamua nani wampe tena uenyekiti wa chama hicho cha CUF leo muda huu

Uchaguzi wa kuwapata wawakilishi katika mkutano mkuuu wa chama hicho tayari umemalizika na tayari wajume hawa ndio wajumbe wa mkutano mkuu wa chama cha wananchi CUF waliochaguliwa muda huu jijini Dar es salaam

Aliyekuwa katibu mkuu wa CUF  SEIF SHARIF HAMAD akiomba kura kupata nafasi hiyo kwa mara nyingine tena muda huu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho unaoendelea muda huu ndani ya ukumbi wa ubungo plaza jijini dar es salaam

No comments: