Thursday, November 6, 2014

NI VITA YA UCHAGUZI--VYAMA VINGINE SITA VYA UPINZANI VYAUNGANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO KUPAMBANA NA UKAWA NA CCM


5
Mwenyekiti wa Chama cha SAUT  Yusuf Manyanga  akifungua mkutano huo kabla ya Mwenyekiti wa UPDP Mh. Fahmi Dovutwa kutoa tamko.
3
Rashid Lai Katibu Mkuu AFP akifafanua jambo wakati wa mkutano huo uliofanyika Sinza jijini Dar es salaam kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha SAUT  Yusuf Manyanga , Mwenyekiti wa UPDP Mh. Fahmi Dovutwa na Dominic Lyamchai Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini

No comments: