Friday, November 14, 2014

PICHA YA SIKU--MREMA TENA HUKO VUNJO

PICHA HII NIMETUMIWA NA MAELEZO HAYA HAPA MDAU WANGU,--Aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Bw.Augustino Mrema (aliyeketi kwenye stuli) akikaribishwa na mpambe wake ili aweze kuhutubia wananchi wake wa Vunjo.. Mkutano huo uliofanyika eneo la Chekereni

No comments: