Sunday, November 9, 2014

TAARIFA RASMI YA UPASUAJI ALIOFANYIWA RAIS KIKWETE

Jana asubuhi tarehe 8 Novemba Mheshimiwa Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alifanyiwa upasuaji wa Tezi Dume katika Hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore Maryland nchini Marekani upasuaji ambao ulimalizika salama. Leo tarehe 9 Novemba ni siku ya pili baada ya upasuaji na Mheshimiwa Rais anaendelea vizuri. Mapema asubuhi ya leo alianza mazoezi ya kutembea. Tutaendelea kuwashirikisha taarifa za maendeleo ya Mheshimiwa Rais 

No comments: