Friday, November 7, 2014

TCRA SACCOS YAPATA VIONGOZI WAPYA,NI KATIKA MKUTANO WAKE WA PILI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Chama cha ushirika cha akiba na mikopo cha TCRA leo kimefanya mkutano wake mkuu wa pili wa wanachama wake ambapo pamoja na mambo mengine wameutumia mkutano huo kupata viongozi wapya wa chama ambao watakiongoza chama hicho kwa mhula mwingine wa uongozi.
Mkutano huo uliofanyika mkao makuu ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania umeshughudia wanachama hao wakipata viongozi wapya kama unavyowaona kwenye picha hapo.

Viongoi waliochaguliwa ni pamoja na mwenyekiti mpya  ambaye amerudishiwa nafasi yake bw ERASMUS MBILINYI ,pamoja na makamu mwenyekiti MABEL MASASI,wengine ni wajumbe wapya wa bodi ya chama hicho ambao ni ABDULL HUSSEN,MASAI J MASAI,CHARLES THOMAS,BENJAMIN MWANDETE,na GABRIEL MRUMA.


Baadhi ya wajumbe wa wa mkutano huo wakisikiliza kwa makini,ambapo wajumbe wa chama hicho kinundwa na wafanyakazi wa mamlaka hiyo ya mawasiliano Tanzania
Mwenyekiti wa TCRA SACOS akizungumza na wanachama wa chama hicho wakati wa mkutano huo uliomalizika jioni hii jjini dar es salaam




Tunachangia

No comments: