Sunday, May 31, 2015

TIGO YADHAMINI MASHINDANO YA MBUZI DAR ES SALAAM

  1. Watoto wakicheza katika puto maalum la Tigo (Jumping Castle) wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goiat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam

  1. Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyima Dar es Salaam.

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, John Wanyancha akipata huduma katika banda la Tigo, wakati wa tamasha la mbio za mbuzi (Goat Race), zilizofanyika Jijini Dar es Salam ili kukusanya pesa za kusaidia jamii

No comments: