Wednesday, June 17, 2015

TIZAMA CCM MOSHI WALICHOMFANYIA WAZIRI MEMBE JANA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akikabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Moshi mjini, Ole Nesele fomu zilizotiwa saini na wanachama wa CCM, Ofisini hapo Juni 17.2015, kwa ajili kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (mwenye miwani) akicheza ngoma iliyokuwa ikitumbuizwa na Akinamama wa CCM wakati alipofika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),  ya mkoa wa Kilimanjaro Juni 17.2015, kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.

Sehemu ya umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ukimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe nje ya Ofisi za CCM wa Mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, wakati alipofika kuomba udhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwaaga wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Kilimanjaro, waliofika katika Ofisi ya CCM ya wilaya ya Moshi Mjini Juni 17.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.



Umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakilisindikiza gari lililombeba Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe, wakati likitoka nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, baada ya kumaliza heka heka za kutafuta wadhamini kwa  ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.


Kundi la madereva wa Bodaboda wakiwa tayari nje ya Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, wakisubiri kumsindikiza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe, baada ya kumaliza heka heka za kutafuta wadhamini kwa  ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akiwasalimia  wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofurika nje ya Ofisi ya CCM ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mjini Moshi Juni 17.2015,  kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Kilimanjaro, waliofika katika Ofisi ya CCM ya wilaya ya Moshi Mjini Juni 17.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250. Picha zote na John Badi


No comments: