Tuesday, August 16, 2016

Mashindano ya Tigo Dance la Fiesta yafanyika jijini Mwanza

 Vikundi vya Scorpion na warriors vikichuana vikali  uso kwa uso kuonyesha nani zaidi kati yao kwenye mashindano ya Tigo Dance la Fiesta.

Jaji Jackline Cliff akitoa maelekezo kwa mojawapo ya kikundi kilichoshiriki shindano la Tigo Dance la Fiesta jijini mwanza leo, Jumla ya vikundi nane vilichuana.
 

Kikundi cha Mirambo kikionyesha cheche zake.

Meneja wa masoko Tigo kanda ya ziwa, Alli Mashauri akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa shindano la tigo dance la fiesta, kikundi cha scorpion waliojishindia kitita cha shilingi milioni moja leo jijini Mwanza.

Kikundi cha TYT kikiwa mzigoni ndani ya ukumbi wa Villa Park. Mwanza

 Kikundi cha TYT kikiwa mzigoni ndani ya ukumbi wa Villa Park. Mwanza

Sehemu ya watu walioshuhudia mchuano wa Tigo Dance la Fiesta

Kikundi cha Team Maximum japo hawakushinda ila walionyesha umahiri mkubwa.

Kikundi cha Turn Kardi kilitoa vionjo vya michael jackson


 Kikundi cha warriors kikichuana vikali kutafuta ushindi wa shindano la Tigo Dance la Fiesta

No comments: